Nguli wa Bongo Fleva, Joseph Haule (Profesa Jay) amefunguka kurudi upya jukwaani, akisistiza anarudi kupindua meza kwenye ...
TASNIA ya Bongo Fleva imejaa vipaji vingi vya kike vilivyoacha alama kubwa licha ya kudumu kwa muda mfupi. Cha kusikitisha ni kwamba baadhi ya wasanii hao walilazimika kuacha muziki wakiwa bado ...
Makala Muziki Ijumaa Juma hili, Ali Bilali amezungumza na mwanamuziki wa bongo Fleva ambae amekuja kwa kasi kubwa na ngoma yake " Usisahau" ambayo amemshirikisha Baraka De Prince. Hii ni baada ya ...
Msanii wa muziki wa bongo fleva nchini Tanzania ambaye ni miongoni mwa wasanii waliofanikiwa pakubwa katika eneo la Afrika mashariki Rajab Abdul Kahali maarufu Harmonize ametoa ujumbe. Amewataka ...
MSANII nyota wa muziki wa Bongo Fleva na Mkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, Diamond Platnumz anajiandaa kuachia wimbo wake mpya wa kimahaba uitwao ‘Natulizana’ ikiwa ni maalum kwa msimu wa Valentine ...
Hali ya simanzi na huzuni imegubika familia ya msanii wa bongo Fleva Ali Kiba baada ya babake kufariki dunia mapema leo. Mzee Saleh Kiba alifariki katika hospitali ya Muhimbili ambapo alikuwa amelazwa ...
Makala ya Nyumba ya Sanaa juma hili inakuletea mahojiano na Rogat Hega Katapila ambaye ni mmoja wa viongozi wa bendi ya muziki wa dansi ya Extra Bongo yenye maskani yake jijini Dar es salaam nchini ...